Alhamisi, 26 Juni 2014

VIDEO- DIAMOND PLATNUMZ AKISHUKA MISTARI YA TAARABU

Diamond platnumz msanii maarufu wa kimataifa tokea pande za tandale -Dar es salaam-TANZANIA.
Katika safari yake ya  kutoka kimuziki alishawahi kujaribu kuimba nyimbo ya taarabu na alishawahi omba
nafasi ya kaz katika kundi moja la taarabu nchini tanzania lakini alibaniwa na akuweza pata nafasi.
Ila kwa bahati mzuri nyota yake ilianguka kwenye bongo fleva .
Katika kipndi kmojawapo cha radio Diamond Platnumz amedhihilisha kuwa  hata kwa upande wa taarabu yumo.HII NI VIDEO INAYOMUONYESHA  MSANII HUYU AKITIRIRIKA MISTARI YA TAARABU ....!!

VIDEO- KIREWA FAKE

NI MASHABIKI WALIOAMUA KUJIRECORD VIDEO YA KIREWA NA KUIGIZA KAMA SHETTA & DIAMOND ......!!!!
I-CHECK....

NEW VIDEO- Diamond Platnumz, Davido,Tiwa savage,Micasa & Sarkodie_ AFRICAN RISING

WIMBO ULIOSHIRIKISHA BAADHI YA WASANII AFRICA

                                                                        jioneeeee.......!!

VIDEO ; FLORA ALIMCHOKA MWANANGU (Emmanuel Mbasha)

Ni maneno ya wazazi wa Emmanuel Mbasha ....!
wamefunguka .
ANGALIA VIDEO HII WAZEE WAKIFUNGUKAA.............!!!

VIDEO ; MASIKINI MBASHA > INASIKITISHA , AKUTA NYUMBA YAKE IKIWA TUPU.....!!!

video; INASITISHA_Emmaunel Mbasha  akuta nyumba yake ikiwa tupu .
Inasemekana kuwa Frola Mbasha mkewe amechua
CHECK HII VIDEO EMMANUEL AKIFUNGUKA...........!!!!!